• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WALIMU WA SEKONDARI NA MSINGI WAJENGEWA UWEZO

Posted on: February 20th, 2023

Na. Cosmas Njingo. GAIRO

Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Mkoani Morogoro imeendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu wa Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari.

Mafunzo hayo ya siku tatu yanayosimamiwa na Divisheni za Elimu ya Awali, Msindi na Sekondari yanalenga kuwawezesha walimu kupata mbinu mpya na shirikishi za ufundishaji na ujifunzi ili kuongeza maarifa, umahiri na ujuzi.

Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari Mwl. Kulwa Mgallu; amesema matarajio yao mara baada ya mafunzo hayo ni kuongeza kiwango cha ufaulu.

"Baada ya kuhitimu mafunzo haya, Matarajio yetu kama Divisheni ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari, Walimu wataongeza ujuzi na umahiri kwani wamepata mbinu mpya na shirikishi za ufundishaji na ujifunzaji". alisema Bi. Mgallu.

Mwl. Mgallu alibainisha kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo imedhamiria kuhakikisha kiwango cha ufaulu kinapanda katika ngazi zote kuanzia darasa la Kwanza hadi kidato cha nne.

"Tumekusudia kuhakikisha ufaulu unaongezeka kwa madarasa yote; Mwanafunzi wa darasa la pili afaulu kwenda darasala latatu, walanne afaulu kwenda tano, vivyo hivyo aliyepo kidato cha pili afaulu kwenda kidato cha tatu, hadhalika wa kidato cha Nne afaulu kuingia kidato cha tano.

Naye Mkuu wa Shule ya Sekondari Gairo,Mwl. Hawa Mponela alisema, matarajio ya walimu hao baada ya kujengewa uwezo ni kuongeza kiwango cha ufaulu kwa asilimia 100.

"Kimsingi Mafunzo haya yamekuja kwa wakati sahihi kabisa, maana tumejifunza mambo mengi hasa mbinu shirikishi ambazo zimetuongezea ujuzi katika ufundishaji na ujifunzaji, na matokeo ya progamu hii ni kuondoa kabisa SIFURI kwa kupandisha ufaulu kwa Asilimia 100" Alisema Mwl. Mponela.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa