• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WANANCHI KATA YA CHIGELA WAJITOLEA KAZI ZA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA KATA

Posted on: July 22nd, 2023

Na. Cosmas Mathias Njingo. GAIRO

Julai 2023

Wananchi wa Kata ya Chigela wameshiriki zoezi uchimbaji wa misingi ya majengo mbalimbali ya Shule mpya ya Sekondari ya Kata hiyo ikiambatana na uzinduzi wa ujenzi wa miundombinu ya Shule hiyo.


Akiongoza zoezi hilo kuchimba Msingi na uzinduzi wa shughuli za ujenzi wa Shule hiyo Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Jabiri Makame kwa niaba ya Wananchi wa Gairo ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dakta Samia Suluhu Hassan kwa kutenga Fedha nyingi zaidi ya Sh. Bilioni Moja kwa ajili ya uboreshaji wa Elimu Awali na Msingi na Elimu Sekondari.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Bi. Sharifa Nabalang'anya amewaasa Wananchi hao kuhakikisha wanashiriki katika kusimamia shughuli za ujenzi ili thamani ya Fedha ilingane na ubora wa majengo ya Shule hiyo.

Ujenzi wa Shule Mpya ya Kata ya Chigela utagharimu kiasi cha Sh.528,998,425 Milioni kutoka Serikali Kuu kupitia Mradi wa SEQUIP ambapo utahusisha ujenzi wa vyumba 8 vya madarasa, jengo la utawala, Maabara 3 za Kemia ,Baiolojia na Fizikia pamoja na matundu ya vyoo na uwekaji wa miundombinu ya Maji.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa