• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WANAFUNZI 3907 GAIRO WAFANYA MTIHANI WA TAIFA DARASA LA SABA MWAKA 2025

Posted on: September 10th, 2025

WANAFUNZI 3,907 GAIRO WAFANYA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA

 Jumla ya wanafunzi 3,907 wa shule za msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Gairo wameanza kufanya Mtihani wa Taifa wa Kuhitimu Elimu ya Msingi (Darasa la Saba) 2025, sambamba na wenzao nchi nzima.

Mtihani huo umeanza Septemba 10, 2025 na unatarajiwa kuhitimishwa Septemba 11, 2025, ambapo wanafunzi watapimwa katika masomo mbalimbali ili kuhitimisha safari yao ya elimu ya msingi.

 

Akithibitisha taarifa hizo, Mkuu wa Divisheni ya Elimu Awali na Msingi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, Mwl. Khadija Mwinuka, amesema kati ya wanafunzi hao, 1,550 ni wavulana huku wasichana wakiwa 2,357.

 

Mwl. Mwinuka ameongeza kuwa maandalizi ya mtihani huo yamekamilika kwa ushirikiano wa wadau mbalimbali wakiwepo walimu, wazazi pamoja na viongozi wa elimu katika wilaya, ambapo amewahimiza wanafunzi kufanya mtihani kwa kwa umakini na utulivu wa hali ya juu, kuzingatia maelekezo na kujibu maswali yaote ili kufanikisha ndoto zao za kielimu.

 

Kwa upande Mwingine Afisa Elimu huyo wa Elimu ya Awali na Msingi, amewahimiza wazazi na walezi kuendelea kuwapa watoto wao msaada wa kisaikolojia na mazingira rafiki katika kipindi hiki muhimu cha mitihani.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SHIRIKA LA MVIWAMORO KUWAINUA KIUCHUMI VIJANA 50 WILAYA YA GAIRO

    September 10, 2025
  • WANAFUNZI 3907 GAIRO WAFANYA MTIHANI WA TAIFA DARASA LA SABA MWAKA 2025

    September 10, 2025
  • MSAJILI VYAMA VYA SIASA AWAFUNDA VIONGOZI WA VYAMA GAIRO

    September 07, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa