• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

SHERIA NDOGO YA KUDHIBITI SUMUKUVU KUWABANA WAKULIMA, WAUZAJI, WASAMBAZAJI, WASINDIKAJI WA MAZAO.

Posted on: December 5th, 2022

Cosmas Mathias Njingo; 

Gairo, MOROGORO.

Disemba 5.2022.

 

Baraza la Waheshimiwa Madiwani wa halmashaauri ya Wilaya ya Gairo, limepitisha sharia ndogo ya Halmashauri ya kusimamia udhibiti wa `kwenye mazao ya mimea na Mifugo.

Kikao hicho cha Baraza maalum la Wahe. Madiwani cha kujadili na kupitisha sheria ndogo ya kudhibiti SUMUKUVU kilifakilifanyika Disemba 5. 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri na kuhuddhiriwa pia na Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Jabiri Omari Makame, Mwenyekiti wa CCM Wilaya Bw. Dastan Mwendi, wajumbe wa KUU wilaya, Wakuu wa Taasisi za Umma; na Wakuu wa Divisheni mbalimbali wa Divisheni na Vitengo vya Halmashauri.

Mhe. Rahel Nyangasi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

Akitoa maamuzi hayo Mhe. Nyangasi alisema niwakati muafaka kwa Halmashauri kuharakisha mchakato wa kuandaa rasimu ya Sheria ndogo nyingine za Halmashauri ili zipitishwe kwenye vikao vya kisheria ikiwepo Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango na baaday kuwasilishwa kwenye Kikao cha Baraza la Wahe. Madiwani kwa ajili ya kupitishwa.


“Sheria hii ya kudhibiti SUMUKUVU ipite na iende haraka kwa Waziri mwenya Dhamani, lakini ninakukuagiza Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kupitia Timu yako ya Wataalam na Mwanasheria wa Halmashauri, kwa pamoja mharakishe mchakato wa kuunda rasimu za sheria ndogo ndogo za Halmashauri ili Wahe. Madiwani wazipitishe kupitia Mabaraza yao. Hii itasaidia kusimamia utekelezaji wa Sheria, kanuni na taratibu za uendeshaji wa Serikali za Mitaa. 

Bw. Christopher Mussa Waless, Mratibu wa Kuzuia SUMUKUVU Wilaya ya Gairo akitoa maelezo kuhusu rasimu mpya ya Sheria ndozo za Halmashauri za Kudhibiti SUMUKUVU katika Kikao cha Baraza la Madiwani kilichoketi Disemba 5.2022

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Adv. Waryoba Mussa

Akitoa maoni yake, Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Jabiri Omari Makame alisema; kutumika kwa sharia hiyo kutaleta mageuzi makubwa katika Sekta ya Kilimo na kwamba wajibu wa Wahe. Madiwani hao ni kuhakikisha inatekelezwa katika maeneo yao ili kuongeza tija katika uzalishaji sambamba na kuondoa madhara yatokanayo na SUMUKUVU kwa Binadamu na Mifugo.

Mhe. Jabiri Omari Makame, Mkuu wa Wilaya ya Gairo“Sheria hii ni muhimu sana katika kuleta mageuzi kwenye sekta ya kilimo, niwaombe Waheshimiwa Madiwani kwenda kuisimamia na kuitekeleza kwa vitendo ili kila mdau anayetajwa katika sheria hii awe ni chanzo cha mabadiliko ili tuondokane na madhara yatokanayo na SUMUKUVU”. Alisema Mhe. Makame

Mhe. Makame akalitaka baraza hilo pamoja na Wataalam wa Halmashauri kuharakisha mchakato wa uundaji wa sheria nyingine ndogo ndogo zikiwepo sheria ndogo ya Mfuko wa Elimu na Sheria ndogo ya Utoaji wa Chakula shuleni ili ziweze kutumika katika kuboresha Sekta ya Elimu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa