• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WATAKIWA KUREJESHA FEDHA ZA MAREJESHO YA MIKOPO

Posted on: January 27th, 2023

Na. Cosmas Njingo,GAIRO,

JANUARI 27.2023

Watoa huduma ndogo za fedha Wilayani Gairo, wametakiwa kurejesha mara moja fedha za marejesho ya mikopo ya wateja wao, walizoendelea kuwakata kwa makusudi hata baada ya wateja hao kumaliza kulipa deni la mikopo yao.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilayaya Gairo #jabirimakame wakati akifunga mkutano wa Wadau wa Huduma Ndogo za Fedha uliofanyika Januari 24.2023 katika ukumbi mdogo wa Mikutano wa Halmashauri.

"Fedha zote za marejesho ambazo mliendelea kuwakata wateja wenu ingawa tayari walisha maliza kulipa madeni yao, muwarejeshee mara mmoja, hii haikubaliki kwani nikinyume cha taratibu na sheria za huduma ndogo za fedha". Aliagiza
Mhe. Makame akaongeza kuwa kupitia ukaguzi uliofanywa na kamati ndogo aliyoiunda ikijumuisha maafisa kutoka vyombo vya usalama Wilayani humo, kwenye taasisi zinazotoa huduma ndogo za fedha na kubaini mapungufu mengi ikiwepo ukiukwaji mkubwa wa masharti yaliyowekwa katika sheria ya huduma ndogo za kifedha chini ya Benki Kuu ya Tanzania.
Mapungufu mengine yaliyobainika wakati wa ukaguzi huo ni pamoja na kutokuwepo kwa mikataba ya kueleweka baina ya watoa huduma hao na wateja wao, usiri wa mikataba ya ukopeshaji wa fedha, kiwango kikubwa cha makato ya riba na kuzuia Kadi za Benki za Wateja wao kinyume na utaratibu
Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Huduma Ndogo za Fedha Benki Kuu ya Tanzania (BOT), aliwambia wadau hao kuwa sheria ya Huduma Ndogo za Fedha inazitaka Taasisi zinazotoa huduma hizo kutoza riba isiyozidi asilimia 3.5 (3.5%) kwa m,wezi ya kiasi cha Mkopo anachokopa Mteja, lakini sheria hiyo inaikukwa kwa baadhi ya Taasisi kutoza kati ya asilimia 20 hadi 50 kwa mwezi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa