• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WATENDAJI WA UMMA WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO KWA UADILIFU, UAMINIFU

Posted on: May 24th, 2023

Na. Cosmas Mathias Njingo; GAIRO

Mei 24.2023

(Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima, akisaini kwenye kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Gairo)

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima, amewataka watendaji wa Taasisi mbalimbali za Umma Wilayani Gairo, kusimamia utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa uadilifu na weledi, ili ilete tija kwa Wananchi.
Ametoa agizo hilo Mei 24.2023, wakati wa ziara yake ya siku moja ya kujitambulisha kwa Viongozi Waandamizi wa Serikali na Wakuu wa Taasisi za Umma Wilayani Gairo, katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

(Mhe. Kighoma Malima, akipokea taarifa kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Gairo wakati wa ziara yake ya kikazi kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo)

"Utekelezaji na Usimamizi wa miradi lazima uwe katika uadilisfu wa hali ya juu ili matarajio ya Mhe. Rais Samia kwa Wananchi wake yatimie na miradi ilete na tija". Alisisitiza Mhe. Malima.
Katika kikao hicho, Mkuu wa Mkoa huyo alikutana na MWenyeji wake Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Jabiri Makame, Mwenyekiti wa CCM Wilaya Ndg. Danistani Mwendi, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Rahel Nyangasi na Wajumbe wa KUU Wilaya.

(Meneje wa Tanesco Wilaya ya Gairo akitoa taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya REA na Umeme wa shirika hilo kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima)

Wengine ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Dkt. Godbless Luhunga, Wakuu wa Divisheni na Vitengo wa Halmashauri, Wakuu wa Taasisi mbalimbali za Umma pamoja na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo Gairo Mhe. Andrea Sendeha.

(Meneje wa Wakala ya Barabara Mijini na Vijijini Ndg. Massala akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa)

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa