• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WATOA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA WATAKIWA KUZINGATIA KANUNI ZA UKOPESHAJI.

Posted on: January 13th, 2023

Na. Cosmas Njingo

GAIRO

JANUARI 13.2023

 Wadau wa huduma ndogo za Fedha Wilayani Gairo wametakiwa kuhakikisha wanatoa huduma kwa Wateja wao kwa kuzingatia Sheria, taratibu, Miongozo na Kanuni za huduma ndogo za Fedha wasiopokea Amana pamoja na kuepuka ukwepaji wa kulipa Kodi za Serikali.

Wito huo Umetolewa na Mkuu wa WIlaya ya Gaior Mhe. Jabiri Omari Makame wakati akifunga Mkutano wa Wadau wa Huduma Ndogo za Fedha uliofanyika Januari 26.2023 katika ukumbi mdogo wa Hamlashauri.

"Tunataka taasisi zote ndani ya Wilaya yetu ya Gairo ziwe zimesajiliwa kwa mujibu wa Sheria na Taratibu zinazoelekezwa na Benki Kuu ya Tanzania, Msajili wa Makampuni Brela pamoja na Tume ya Ushindani (FCC)". Alielekeza Mhe. Makame.

Naye Afisa Mkuu Mwandamizi, Idara ya Usimamizi wa Huduma ndogo za Fedha Benki Kuu ya Tanzania aliwambia Wadau hao kutokujiingiza katika vitendo vya ukiukwaji wa Kanuni za Huduma ndogo za fedha kuepuka adhabu ya faini isiyopungua kiasi cha Shilingi Milioni ishirini na isiyozidi Milioni Miamoja, au Kifungo jela ama adhabu zote mbili kwa wakati mmoja.

Kwa Upande wake Afisa Mlinda Mlaji, Idara ya Kulinda Mlaji Tume ya Ushindani Bw. Emmanuel Nyanza amewataka Viongozi wa Taasisi hizo kuzingatia kanuni zote za utoaji wa huduma kwa kuweka bayana Mikataba baina yao na walaji ambao ni wateja wao lengo ikiwa ni kudhibiti malalamiko yatokanayo na kutokuwepo na mikataba inayoeleweka vizuri kwa walaji.

"Nimuhimu sana kuhakikisha Mikataba baina yenu watoa huduma na wateja ipo wazi na inaeleweka, lakini ni vyema Mteja apewe nakala ya Mkataba badala ya kuificha au kubaki nayo". Alisisitiza Afisa huyo kutoka Idara ya Kumlinda Mlaji kutoka Tume ya Ushindani

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa