• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAZAZI WADAIWA KULAZIMISHA WATOTO WA KIKE KUACHA SHULE, KUWAOZESHA

Posted on: September 19th, 2022


Na, Cosmas Mathias Njingo

Gairo, Morogoro

Sepetemba 18.2022

“Mtoto wa kiume halazimishwi kuacha shule, lakini mtoto wa kike analazimishwa kuacha shule na kubebeshwa majukumu ya kifamilia yasiyo lingana na umri wake tofauti na mtoto wa kiume”

Afisa Ufuatiliaji na Tathimini, Kutoka Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Morogoro Bw. Ambonisye Haule (Picha Na. Cosmas Mathias Njingo-GAIRO)

Kauli hiyo imetolewa na Afisa Ufuatiliaji na Tathimini, Kutoka Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Morogoro Bw. Ambonisye Haule, wakati wa Kikao cha Mkutano Mkuu wa Jukwaa la Mwaka la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGOs) Wilaya ya Gairo, uliofanyika Septemba 14, 2022, katika ukumbi wa mikutano wa Halmshauri.

Bw. Haule alibainisha kuwa mila kandamizi zimekuwa zikibagua utoaji wa haki kwa watoto wa kike huku watoto wa kiume wakipewa upendeleo kwenye mgawanyo wa majukumu na ushiriki maamuzi ya umiliki wa rasilimali za familia.

Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Nguzo Imara, Bw. Stiphene Majumba, akichangia mada katika kikao hicho (Picha na Cosmas Mathias Njingo-GAIRO)

Naye Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Nguzo Imara, Bw. Stiphene Majumba alisema Watoto wa Kike kuacha shule na kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi kabla ya wakati, ndoa na mimba za utotoni, husababishwa na Wazazi wenyewe.

 Bw. Majumba akaongeza kuwa bado baadhi ya Makabila Wilayani Gairo yanaendelea kufuata mila kandamizi hali ambayo inachochea vitendo vya ukatili wa kijinsia na kingono kwa watoto wa kike, na kuongeza kuwa mila hizo zinawanyima haki watoto wa kike kupata elimu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa