• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WILAYA YA GAIRO NA UTAJIRI WA MADINI YA DHAHABU

Posted on: June 11th, 2019

Wachimbaj wa wadogo wa madini waligundua upatikanaji wa madini hayo mwanzoni mwa mwezi Juni, 2019 jambo ambalo lilisababisha wachimbaji wengi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi kufurika katika eneo hilo. Baada ya kubainika kuwa zipo shughuli za uchimbaji wa madini aina ya dhahabu katika kijiji cha Kilama Kata ya Iyogwe Wilayani Gairo, Kamati ya ulinzi na Usalama ya Wilaya, Afisa madini Mkazi wa Mkoa wa Morogoro pamoja na Mkurugenzi Mtendaji na Wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Gairo mnamo tarehe 8 Juni, 2019 walifanya ziara katika eneo hilo ili kuzungumza na wachimbaji hao pamoja na kuweka utaratibu mzuri wa namna uchimbaji unavyoweza kufanyika kwa manufaa ya pande zote.

Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Bi. Sirel Mchembe ambaye ndiye Mkuu wa Wilaya aliongoza kikao hicho ambapo waliazimia mambo yafuatayo:-

  • Wachimbaji wachague viongozi ambao watashirikiana na Serikali katika kuratibu shughuli zote za uchimbaji.
  • Viundwe vikundi ili Serikali iweze kuwasilisha majina yao kwa Afisa Madini Mkazi kwa ajili ya kupatiwa lesseni za uchimbaji.
  • Uchanjuaji wa madini hayo ufanyike katika eneo moja lililoteuliwa katika Kijji cha Kilama na wachimaji wote watakaopata madini wawasiliane na Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ili wanunuzi wanaotambulika waweze kuja kununua na serikali kupata stahiki yake.
  • Viongozi wa Kata, Kijiji, Mwenyekiti wa Kijiji na Viongozi wa wachimbaji wawasimamie wachimbaji wadogowadogo ili kuhakikisha kuwa wanachimba vyoo mapema  iwezekanavyo pamoja kuhakikisha uwepo wa vibanda vya kutolea huduma za vyakula.
  • Uchimbaji usiendelee mpaka pale taratibu za kusajili vikundi na maandalizi ya mazingira rafiki kwa wachimbaji yatakapo kamilika.

Aidha, wachimbaji walielezwa faida ya uchimbaji kama watatumia utaratibu mzuri, wao watanufaika na uchimbaji huo na serikali nayo kutapata mapato

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa