• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WITO KWA WANANCHI KUTUNZA MAZINGIRA

Posted on: August 7th, 2023

Na. Cosmas Mathias Njingo, 88 MOROGORO

Agosti 7. 2023.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jaffo (Mb) amewataka Wananchi hususani wakulima, kuwa msitari wa mbele katika kuendeleza juhudi za Serikali za utunzaji na uhifadhi wa mazingira ili kuepukana na mabadiliko ya tabia ya nchi ambayo yanaathiri sekta mbalimbali ikiwemo kilimo, ufugaji na uvuvi.

Waziri Jaffo ametoa wito huo Agosti 8 mwaka huu wakati akizungumza na Waandaishi wa habari baada ya ziara yake ya siku moja ya kutembelea mabanda na vipando vya mazao mbalimbali katika maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki katika viwanja vya Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

“Hii swala la mabadiliko ya tabia Nchi tumejionea wenyewe namna ambavyo linaathiri sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi; nah ii inatokana na wingi wa shughuli za kibinadamu zisio zingatia uhifadhi na utunzaji wa Mazingira. Hivyo ninatoa rai yangu kwa kwa Wananchi wote na hasa hasa Wakulima kuhakikisha wanakuwa atunzaji namba moja wa mazingira.

  

Kawa upande mwingine Waziri Jaffo amepongeza Uongozi wa Kanda ya Mashariki kwa namna ambavyo umejipanga katika kuwezesha na kufanikisha maonesho ya Nanenane kwa kanda hiyo; na kwamba maonesho hayo yanaenda kuleta mabadiliko makubwa kwa Wakulima na Wadau wa Sekta hizo kwani yametafasiri kwa vitendo dhana ya Mhe. Dakta Samia Suluhu Hassan, ya Wakulima kupata tija katika shughuli za Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

“Binafsi nimefarijika sana na maandalizi mazuri ya maonesho ya Wakulima ya mwaka huu katika kanda hii ya Mashariki, nahii inatoa fursa kwa Kanda ya Mashariki kuendelea kuwa kinara wa maonesho ya Nanenane Tanzania kutokana na namana ambavyo mmejipanga kwa maandalizi na mpangilio wa mabanda ya maonesho, bidhaa zilizopo na hata ushiriki wa Wadau mbalimbali unaridhisha sana”. Alisema Waziri Jaffo.

Kwa upande wake Mhe. Adam Kighoma Malima, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na mwenyeji wa Maonesho hayo, alisema Kanda ya Mashariki inajukumu la kulinda mazingira kutokana na umuhimu wa mito inayopeleka maji katika bwawa la kufua umeme la Mwl. Nyerere linalotarajia kuzalisha umeme zaidi ya Megawati 2000.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa