• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

GAIRO KUVUKA LENGO LA MAKUSANYO IFIKAPO JUNI 30. 2024

Posted on: June 4th, 2024

Na. Cosmas Mathias Njingo. GAIRO,

Juni 4.2024

Halmashauri ya Wilaya ya Gairo imeendelea kuimarisha usimamizi na utekelezajai wa shughuli za ukusanyaji wa mapato, ambapo inatarajia kufikisha 100% ya lengo la ukusanyaji ifikapo Juni 2024.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri hiyo Bi. Sharifa Nabalang’anya wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Maendeleo kwa Waheshimia Madwani katika katika kikao cha Baraza la kupokea na kujadili taarifa za robo ya tatu kwa kipindi cha Januari-Machi 2023/2024 kabla ya kumribisha Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Rahel Nyangasi kufungua Mkutano huo, uliofanyika Mei 24.2024 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Halmasha.

“Mhe. Mwenyekiti, tumefanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato kwa kipindi cha robo iliyopita ya Januari-Machi 2023/2024. Ni matarajio yetu kuwa ifikapo Juni 30 tutafikia 100% ya ya makusanyo ya mapato kwa lengo tulilokuwa tumejiwekea”. Alisema Bi Sharifa.

Akifungua Mkutano huo Mh. Raheli Nyangasi alimopongeza Mkurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Divisheni na Vitengo, Timu ya Kukusanya Mapato na Maafisa Watendaji wa Kata kwa usimamizi mzuri katika kutekeleza jukumu hilo la kukusanya mapato na kuiwezesha Halmashauri kufikia 83% ya lengo.

“Nichukue fursa hii kumpongeza Mkurugenzi Mtendaji na timu nzima ya Wataalam kwa kazi nzuri mliyoifanya. Kwakweli tumeona na tumeamini kwamba kazi inaendelea vizuri, kwani hadi jana inaonesha tumefikia 83% ya lengo. Ni matarajio yetu kuwa kwa kipindi kilichobakia tutafika 100% na kuvuka kabisa lengo la Makusanyo kwa mwaka 2023/2024”. Alipongeza Mwenyeiti huyo.



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa