• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

GAIRO YAPETA MIRADI YA MWENGE 2021

Posted on: August 9th, 2021

Wilya ya Gairo imepokea na kukimbiza Mwenge wa Uhuru 2021 katika jumla ya miradi 7 ambapo kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Luteni Josephine Mwambashi amewapongeza vingozi wote, watumishi na Wananchi kwa ujumla wao kwa kufanya vizuri utekeleza miradi hiyo.


Agasti 9, 2021 mwenge ulipokelewa katika kijiji cha Tabu hoteli kata ya Chigela ukitokea Wilaya ya Mvomero kisha ulifika Sekondari ya Kibedya kukagua Mradi wa Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa.



Pia mwenge huo ulifika Madoto kijiji cha Mogohingwa na kujionea ujenzi wa Zahanati. Miradi mingine iliyotembelewa na mwenge ni pamoja na kuona mtambo wa kuchakata na kuchuja maji chumvi kwa njia ya teknolojia ya kisasa unaosimamiwa na kampuni ya Protecno.



Miradi mingine iliyo onwa na mwenge wa Uhuru ni maendeleo ya ujezi wa nyumba ya kulala wageni Majaliwa iliyopo Ukwamani, Kitalu cha zao bora la Mokonge, uzinduzi wa club ya kupambana na rushwa shule ya Msingi Lolela na Msingisi pamoja na kikundi cha vijana Rubeho Transporters wanao fanya biashara ya boda boda.


Wakimbiza mwenge kitaifa wakiongozwa na Luteni Josephine Mwambashi waamesema wmefurahishwa na ushirikiano walio onyeshwa kwenye miradi yote na kwamba kila kilicho hitajika kilikuwa kipo sawa hivyo wamepokea taarifa za miradi yote na wamekubaliana nayo.

Mwenge huo unatarajiwa kukabidhiwa Manispaa ya Mko wa Morogoro Agosti 10 baada ya kukimbizwa Wilayani Gairo na kufuatiwa wa shamra shamra zingi kwenye uwanja wa mkesha uliipambwa kwa hamasa kubwa ya burudani toka kwa wasanii mbali mbali wa muziki wa dance, kizazi kipya, vijana wa Hamasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), matarumbeta, halaiki pamoja na vijana wa skauti.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa