• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

Posted on: July 17th, 2024

MOROGORO

Julai 9.2024

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (MB) ameutaka uongozi wa Benki ya watu wa Zanzibar (PBZ) kutoa Elimu kwa umma kuhusu uwekajiakiba na mikopo yenye masharti nafuu, sambamba na kuelezea utendaji kazi wake ili kuhamasisha Wananchi kutumia huduma za Benki hiyo katika kukuza Uchumi wao.

Mhe. Majaliwa ametoa agizo katika hafla ya ufunguzi wa Tawi la Benki ya PBZ iliyofanyika Mtaa wa Nunge Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, Mkoani humo Julai 9, 2024, ambapo ameusisitiza Uongozi wa Tawi la Benki hiyo kuelezea kwa kina kuhusu huduma za kifedha zinatakzo tolewa na Benki ya PBZ.

“Mnawajibu mkubwa wa kuhakikisha mnatoa Elimu kwa wadau kuhusu huduma zenu za kifedha, masharti ya mikopo, upatikanaji wake, riba, urejeshaji na usimamizi wa mikopo hiyo. Hii ni muhimu sana kwa Wananchi na Wadau wengine, kwani wakishajua huduma zinazotolewa na PBZ itawawezesha kufanya maamuzi na uchaguzi sahihi wa kutumia huduma zenu.” Alsisitiza Mhe. Waziri Mkuu.

Kwa upande mwignine Mhe. Waziri Mkuu Majaliwa amewahimiza Wananchi kutumia fursa ya uwepo wa Tawi la PBZ kujikwamua kiuchumi kupitia huduma za kifedha za Benki hiyo, ikiwepo kukuza kitaji kwa kupata mikopo nafuu ya kuanziasha au kuendeleza Biashara zao na kuwsisitiza wajasiliamali Wadogo kufungua akaunti na kuweka akiba katika Benki hiyo ili wapate kunufaika na huduma za mikopo.

“Kufunguliwa kwa Tawi la benki hiyo Mkoani Morogoro inasogeza fursa kwa Wananchi kuingia kwenye ujasiliamali kwa kukopa na kufanya shughuli za uzalishaji, ni wakati muafaka kwa Wajasiliamali kufungua akaunti kwenye tawi la PBZ, kuweka akiba mara kwa mara na kuzingatia masharti ya mikopo mtakayokopa ikiwemo sharti kurejesha kwa wakati wa mikopo hiyo”. Alissema.

Aidha Waziri Mkuu amempongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uongozi wake mahiri wa kufungua fursa za uwekezaji hususani Sekta Binafsi kusogeza huduma za kifedha kwa Wananchi kupitia na kwamba Taasisi hizo za kifedha hususani Mabenki, ikiwepo PBZ zinazochagiza kukua kwa Uchumi wa Nnchi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa