• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MUHEZA ITITU WAKABIDHIWA KIFAA CHA KUWASHA UMEME NDANI YA NYUMBA BILA KUUNGANISHA WAYA (WIRING)

Posted on: June 17th, 2021

Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Medadi Kalemani ametoa vifaa arobaini vya kuwasha umeme ndani bila kusambaza miundombinu ya waya (wiring).

kifaa hichi kinajulikana kwa jina la UMETA kimewekewa mfumo maalumu wa kuwezesha kuwasha taa zaidi ya nne kwa wakati mmoja pasipo kusambaza nyaya vyumbanina maeneo mengine.

Waziri Kalemani amesema UMETA ni mkombozi kwa wananchi wa kipato cha chini ambao hawana uwezo wa kukunua nyaya, swichi za kuwashia taa, soketi break, meini swichi na miundo mbinu mingine, kwani chenenyewe kimejitosheleza kusambaza umeme (mwanga) ndani ya nyumba.

"UMETA ni kifaa mkombozi kwa wananchi wenye kipato cha chini wasio na uwezo wa kununua vifaa vingi vinavyohitajika kwa ajilikusambaza miundombinu ya umeme ndani ya nyumba", alisisitiza.

Alisema anachotakiwa kufanya mwananchi ni kwenda ofizi za Tanesco kufanya malipo ya Shilingi elfu ishirini na saba tu kisha mafundi wataenda na kifaa hicho kumuunganishia umeme kutoka kwenye nguzo kwa kuzingatia taratibu zote za kumtambua kuwa ni wa kipato cha chini hawezi kugharamia vifaa vya kuweka miundominu ya umeme ndani kwake.

Pamoja na kutoa UMETA arobaini kwa ajili ya kaya 4o za wakazi wenye kipato cha chini pia Waziri kalemani ametoa UMETA nyingine 250 kwa ajili ya vijiji vyote vitakavyo pitiwa na mradi wa umeme wa REA ili wananchi wengi zaidi waweze kunufaika.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHIRIKIANA NA NEC KUHAMASISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 24, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA MAANDALIZI MAZURI

    February 23, 2025
  • VYAMA VYA SISA VYAHIMIZWA KUHAMASISHA WANACHAMA WAO KUJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA AWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI, UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 21, 2025
  • MKOA WA MOROGORO WAJIPANGA KUIWEKA WILAYA YA GAIRO KWENYE RAMANI YA UZALISHAJI WA PARACHICHI NCHINI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa