• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

SAJILO: ACHENI MARUMBANO, KUBISHANA HADHARANI

Posted on: June 12th, 2021

Viongozi wa Serikali Wilayani Gairo wameswa kuacha mara moja tabia ya marumbano na kubisnaha hadharani mbele ya Wananchi na watendaji wa umma, kwani kufanya hivyo ni kujishushia hadhi katika jamii wanayo iongoza na kuleta sifa mbaya na  aibu kwao.

Rai hiyo imetolewa na mwenyeiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Gairo, Mheshimiwa Shabani Sajilo wakati wa kikao cha Kawaida cha Baraza la Madiwani kilichofanyika Juni 10, 2021

“Hii ni aibu sana kwa vingozi wenye heshima kwenye jamii kurumbana na kubishana hadharani namna hii, mna kitia doa Chama tawala (CCM) na mnaji aibisha ninyi wenyewe mbele ya hadhara ya mnao waongoza”, alisem

Alibainisha kuwa kuwepo kwa mgongano wa mawazo na kupishana msimamo ni jambo la kawaida na ndiyo chachu ya maendeleo na kuongeza kuwa kupishana mitazamo na hoja huleta changamoto katika kushughulikia kero za Wananchi kwa kuunganisha ni mawazo ya wengi.

“Nimelazimika kusimama na kusema haya ndugu viongozi wenzangu maana ninaona mwelekeo wa upepo ulivyo hivi sasa jahazi linaweza kuzama kwa kupigwa na mawimbi ya namna hii, nina waasa tuheshimiane na kila mmoja atimize wajibu wake. Muhimu ni kuunganisha tofauti zetu za kimitazamo na mawazo ili zitumike kama fursa bora za kutatua kero za Wananchi wetu”. Alisistiza.

Akaongeza “Mahala pekee ambapo tunapata fursa ya kubishana, kurumbana na kukosoana ni ndani ya chama kupitia vikao vyetu ambavyo hufanyika kwa mujibu wa Katiba ya Chama chetu kikiwepo kikao cha Kamati ya Siasa Wilaya, huko ndiyo mahali sahihi lakini siyo hadharani namna hii”.

Aidha amewataka viongozi hao kutokimbilia kuzungumza madhaifu ya Wilaya kwenye vyombo vya habari kwani kwa kufanya hivyo kuna dunisha kasi ya uwekezaji katika nyanj za utalii, biashara na kilimo hasa kwa wawekezaji wanje wanao tamani kuja kuwekeza Wilayani Gairo.

“Kuongea madhaifu ya ndani kwako kwa majirani au kwenye vyombo vya habari ni kujidharirisha na kujivua nguo pasipokujua kuwa ni kuwapa fursa maadui zako kukuvuruga zaidi, hili nalo si sawa, ni vyema mambo mengine yakafanyika kimya kimya bila kuyaanika kwenye vyombo vya habari ili kuondoa taharuki kwa wengine”, alitanabahisha.

 Kikao hicho cha Baraza la Madiwani kilihudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Siriel Shaidi Mchembe, akiongozana na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, wataalamu mbali mbali, watumishi wa Halmashauri na Taasisi nyingine za Umma, viongozi wa Dini, Vyama vya Siasa na Wananchi wa kawaida.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa