• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

SH. BILIONI 1 KUTEKELEZA MIARADI YA MAENDELEO GAIRO

Posted on: November 9th, 2023

Na.Cosmas Njingo, GAIRO

Katika Mwaka wa Fedha 2023/2024 kipindi cha Robo ya Kwanza, Halmashauri ya Wilaya ya Gairo imepokea zaidi ya Shilingi Bilioni TSh.1 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za miradi mbalimbali ya Maendeleo, ambazo zimeelekezwa katika Sekta za Afya, Elimu Awali na Msingi, Elimu Sekondari na Utawala.

(Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Bi. Sharifa Nabalang'anya, akizungumza katika Mkutano wa Baraza la Kawaida la Waheshimiwa Madiwani la kujadili taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya Pili Oktoba Disemba 2023/2024)

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Bi. Sharifa Nabalang'anya wakati akimkaribisha Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Rachel Nyangasi katika Kikao cha Baraza la Wahe. Madiwani cha kujadili taarifa za Robo ya Kwanza ya 2023/2024.

(Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Bi. Sharifa Nabalang'anya, akizungumza katika Mkutano wa Baraza la Kawaida la Waheshimiwa Madiwani la kujadili taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya Pili Oktoba Disemba 2023/2024)

"Tumepokea Fedha za Maendeleo zaidi ya Shilingi Bilioni 1 kwa robo ya Kwanza ya 2023. Nichukue fursa hii kumshukuru sana na kumpongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuleta fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za miradi ya mandelo". Alisema Mkurugenzi huyo

(Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Bi. Sharifa Nabalang'anya, akizungumza katika Mkutano wa Baraza la Kawaida la Waheshimiwa Madiwani la kujadili taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya Pili Oktoba Disemba 2023/2024)

Wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Kawaida la Waheshimiwa Madiwani la kujadili taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya Pili Oktoba Disemba 2023/2024).

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa