• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

TUISHI KWA AMANI SISI SOTE NI NDUGU: DC MAKAME

Posted on: August 13th, 2023

Na. Cosmas Mathias Njingo. GAIRO

Agosti 13.2023


“Tuendelee kuishi kwa amani, tuishi kwa upendo na kuimarisha umoja wetu. Kwa sababu kinacho tuunganisha sisi ni kitu kimoja Utanzania wetu; Tanzaiania ni moja tu hatuna Nchi nyingine”. Kauli ya Mhe Jabiri Omari Makame Mkuu wa Wilaya ya Gairo

Alitoa wito huo wa kuimarisha umoja, mshikamano na kuishi kwa Amani alipokuwa akizungumza na baadhi ya viongozi wa Kitongoji cha Kunkresha kijiji cha Kitaita Kata ya Leshata Wilaya ya Gairo na Kitongoji cha Matilei kilichopo Wilaya ya Kilindi wakati wa ziara yake kubaini hali ya migogoro ya ardhi na mipaka kati ya vijiji na vijiji pamoja na Wilaya na Wilaya.

Makame alisema kila Mtanzania anayohaki ya kuishi na kufanya shughuli za kiuchumi mahala popote ndai na nje ya Mkoa au wilaya yake ya asili kwakuwa Tanzania ni moja imebarikiwa tunu mbalimbali ikiwepo ya Amani, mshikamano, umoja na upendo baina ya Wananchi wake.

“Hatupaswi kuishi kwa kubaguana kwa misingi ya makabila yetu ambayo hayawei kutuetea maendeleo na kumarisha usalama wetu. Kwa hiyo ndugu zangu ninaomba mtambue kuwa kinacho tuunganisha na kutuletea maendeleo ni Mshikamano, upendo, Umoja na Zaidi sana Amani tuliyonayo ni lazima kuhakikisha tunailinda” alisisitiza Mhe. Makame.

 Mkuu huyo wa Wilaya akasisitiza migogoro yote ya mipaka na migogoro ya ardhi hana budi kukomeshwa ndani ya Wilaya ya Gairo kwani ikiendelea inaleta udumavu wa fikra na kupunguza kasi ya kukua kwa manedeleo ya mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa