• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

TWENDE TUKATUMIE VIZURI UJUZI TULIOUPATA KUBORESHA UTENDAJI KAZI WETU.

Posted on: June 22nd, 2024

Na. Cosmas Mathias Njingo, DAR ES SALAAM.

Juni 21.2024

Maafisa Habari, Mawasiliano na Itifaki wa Serikali wametakiwa kutumia ujuzi walioupata kupitia mafunzo ya mada mbalimbali zilizotolewa wakati wa kikao kazi cha 19 cha Maafisa Habari wa Serikali, kilichofanyika Jijini Dar es salaam.

Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Mawasilino na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (MB), akifunga kikao kazi hicho kilichofanyika Juni 21 na 22. 2024, katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City.

“Niwaombe Maafisa Mawasiliano na Itifaki wa Serikali, twende tukatumie vizuri ujuzi tulioupata katika kikao kazi hiki kuboresha utendaji kazi wetu. Ujuzi huu utakuwa na maana sana kwetu, ikiwa tutaona mabadiliko kwenye namna tunavyofanya kazi” alisisitiza Mhe.Nauye.

Aidha Mhe. Nape amemwagiza Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Habari Maelezo, kuhakikisha anaweka utaratibu wa kuendesha mafunzo kwa Maafisa Habari wa Serikali katika Kanda zao, ili kuwajengea uwezo wa kuboresha utendaji wao wa kazi wa kila siku, badala ya kusubiri utaratibu wa sasa wa kufanya mafunzo mara moja kwa mwaka kupitia vikao kazi.

“Hii ya kufanya mafunzo mwaka hadi mwaka wakati wa kikao kazi kama hivi nadhani si sawa. Nimemwagiza Mkurugenzi wa Habari Maelezo na Msemaji wa Serikali, kuandaa utaratibu wa kuendesha mafunzo ya Kikanda kwa Maafisa Habari wa Serikali, na kila mwezi nipate mrejesho.” Alisema Waziri huyo wa Habari.

Kikao kazi hicho ka 19, kilihitimishwa rasmi na Mhe. Nape Nauye Juni 21.2024, ambapo zaidi ya Maafisa Habari, Mawasilino na Ifaki wa Serikalini 500 walikutana kutoka Wizara, Taasisi za Umma na Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Katika kuhitimisha Kikaokazihicho Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ilitoa tuzo mbalimbali ikiwepo Vikombe na Vyeti kwa Wizara, Taasisi na Halmashauri zilizofanya vizuri kwenye eneola utoaji Habari na Mrejesho wa Wananchi kupitia Vitengo vya Mawasiliano Serikalini.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa