• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WAHISIWA WA KORONA WAFIKIA 5 KITUO CHA AFYA GAIRO

Posted on: August 5th, 2021

Imeelezwa kuwa hadi kufikia Agosti 4, 2021 Wilaya ya Gairo imeripotiwa kuwa na wahisiwa wa UVIKO walio fika kupatiwa huduma Kituo cha Afya Gairo ni watano ambao wamelezwa wodini wakiendelea kupata huduma za kitabibu.

Hayo yalisemwa na Katibu Tawala Wilaya ya Gairo Bwana Augustino Chazua akitoa hotuba ya uzinduzi wa Chanjo ya UVIKO kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Hiyo Mheshimiwa Jabir Omari Makame, uliofanyika katika kituo cha Afya Gairo Augusti 4 2021 na kuhudhuriwa na wadau mbali mbali ikiwepo Wananchi.

Chazua aliwambia Wanachi hao kuwa vurusi vya UVIKO vinasambaa kwa kazi kubwa na kuathiri watu wengi kwa muda mfupi na kuwasihi kuchukua tahadhari muhimu kama wanavyo elekezwa na wataalamu wa tiba.

“Ndugu zangu nawakumbusha kuwa makini na kujilinda nyakati zote, ni muhimu kuzingatia maelekezo ya wataalu wetu wa Afya kila mara wanatukumbusha kuchukua tahadhari kwa kuhakikisha tunatumia barakoa kwa usahihi, kunawa miko kwa maji tiririka na sabau sambamba na kutokumbatiana au kusalimiana kwa kushikana mikono”. Aliwaasa.

Alifafanua kuwa Serikali ya Tanzania ilizindua matumizi ya chanjo ya UVIKO nchini mnamo Julai 282021 baada ya kuwepo kwa milipuko ya ugonjwa wa huu Duniani kote, na kwamba kumeingia wimbi la tatu la virusi vinavyoshambulia kwa kasi mfumo wa upumuaji wa mwanadamu.

Wakati Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO), likiripoti jumla ya kesi 186,411,011 zilizothibitishwa za wagonjwa wa UVIKO-19 pamoja na Vifo 4,031,725 kufikia hadi Julai 12, 2021, ulimwenguni kote, Nchini Tanzania kumekua na kesi 1,017 za maambukizi hayo huku waliopona ni 183 wakati vifo vinaripotiwa kufikia watu 21 hadi mpaka tarehe 2 Agosti 2021.

Imebainishwa kuwa ugonjwa wa UVIKO umekuwa tishio katika ukuaji wa Ustawi wa jamii na kwa kiasi kikubwa nchi zote ulimwenguni kiafya, kiuchumi na kijamii huku Tanzania ikitajwa kuwa miongoni mwa Nchi zilizo athiriwa kwa kiasi kikubwa Barani Afrika.

Hata hiovyo katika kupambana na janga hili Tanzania kupitia Wizara ya Afya, Jinisa, Wanawake, Watoto na Wazee imetekeleza mikakati na jitihada mbalimbali za kudhibiti janga hili ikiwa ni pamoja kutoa elimu kwa Umma juu ya njia za kudhibiti na kuzuia maambukizi (IPC.

Njia hizo ni pamoja na kukaa mbalimbali mita moja kati ya mtu na mtu, Uvaaji wa barakoa, unawaji wa mikono kwa sabuni na maji tiririka sambamba na kuepuka mikusanyiko.

Aidha, kwa upande mweingine Serikali inachukulia chanjo ya UVIKO kuwa njia moja wapo ya kudhibiti magonjwa huku chanjo hiyo ikitajwa kuwa ni njia bora ya kupunguza kasi ya maamukizi ya virusi vinavyo ambuliza ugonjwa huo kwani inapunguza ukali wa dalili, kuugua na kupunguza vifo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa