• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WILAYA YA GAIRO KUUNDA TIMU MAALUM YA KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI WA KIJINSIA, KINGONO Gairo, Morogoro

Posted on: September 13th, 2022

Na. Cosmas Mathias Njingo

Sept. 13.2022.

Serikali Wilayani Gairo Mkoani Morogoro, imesema imejipanga kuunda timu maalum ya kuhakikisha inaweka mikakati nadhubuti ya kupambana dhidi ya vitendo vya ukatilia wa kijinsia na kingono vivyokithiri miongoni mwa jamii, ili kujenga Taifa imara lenye maadili na nidhamu bora.


Kauli hiyo imetolea Septemba 13.2022, na Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Jabiri Omari Makame wakati wa kikao cha Kamati ya Sensa Wilaya, cha majumuisho na tathimini ya utekeleaji wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi lililofanyika kuanzia Agosti 23.2022. Ambapo Wilaya ya Gairo imefanya vizuri kwa mkoa wa Morogoro baada ya kupita lengo la kuhesabu kaya kwa kufikia asilimia 126.9

“Tumejipanga kuunda timu maalum ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kufanya ufuatiliaji wa karibu wa taarifa zote za uwepo wa vitendo vinavyoashiria ukatili wa kijinsia na kingono, hii ni sambamba na kuwabaini wale wote wanaoripotiwa kuhusika kutekeleza vitendo hivyo katika jamii”. Alisema Mhe. Makame.

Mhe. Makame amesema ofisi yake itashirkiana kwa ukaribu na Timu hiyo ambayo aliwataja Wajumbe wake kuwa ni Dawati la Jinsia kutoka Jeshi la Polisi Wilayani humo, Kitengo cha Ustawi wa Jamii cha Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, Idara ya Maendeleo ya Jamii pamoja na Afisa kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

“Kesi za Ukatili wa Kisinsia na Kingono zimekuwa zikiripotiwa kwa wingi, lakini kumekuwepo na udhaifu mkubwa katika kusimamia utatuzi wa changamoto hii, hivyo kupitia timu hii tutaenda kukomesha kabisa matukio ya namna hii, na lengo letu kama Wilaya ni kuhakikisha hakuna tena kesi za ujkatili wa kijinsia”. Alifafanua Mkuu huyo Wa Wilaya.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa