• Mawasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
GAIRO DISTRICT COUNCIL
GAIRO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Authorities Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira
    • Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni za Halmashauri
      • Seksheni ya Rasilimali Watu
      • Seksheni ya Utawala
    • Divisheni ya Mipango na Ufuatiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Baraza la Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ya Maendeleo
      • Sekta ya Elimu Msingi
        • Miradi Mipya
        • Miradi iliyokamilika
      • Sekta ya Elimu Sekondari
      • Sekta ya Afya
      • Sekta ya Barabara/Miundombinu
      • Sekta ya Maji
  • Machapisho
    • Katiba ya JMT
    • Sheria ndogo ndogo za Halmashauri
    • Hotuba Mbalimbali
    • Sera ya Elimu
    • Taarifa za Hesabu za Mwisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WIZARA YA HABARI KUWAPATIA VITENDEA KAZI MAAFISA HABARI WA SERIKALI

Posted on: June 21st, 2024

Na. Cosmas Mathias Njingo, DAR ES SALAAM.

Juni 21.2024

 

Serikali imesema itaviwezesha vitengo vya Mawasiliano Serikalini kwa kutoa vitendea kazi ili kupunguza changamoto ya ukosefu wa vifaa kutokana na ufinyu wa Bajeti za Halmashauri za Majiji, Maniispaa, Miji na Wilaya.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Habari, Mawasilino na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nauye (MB), akifunga kikao kazi cha 19 cha Maafisa Habari wa Serikali katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City Jijini Dar Es salaam Juni 22. 2024.

“Serikali imesikia kilio cha Maafisa Habari, na inatambua changamoto ya ukosefu wa Vitendea kazi hasa Kamera. Sasa; Wizara ninayoiongoza Mimi, itatoa vifaa vya kisasa kwa Maafisa Habari wa Halmashauri kote nchini, ili kuwajengea uwezo wa kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi zaidi”. Alisema Mhe. Nape.

Na kuonge kwa kusema “Tunataka kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kila Afisa habari awe amepata vitendea kazi. Lengo la Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia, ni kuhakikisha vitengo vya mawasiliano Serikalini vinakuwa na nguvu kubwa na uwezo wa kufanya kazi kwa weledi wa hali ya juu katika kutangaza shughuli za Serikali hasa Miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Awali akimkaribisha Waziri Nape kufunga kikao kazi hicho, Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Habari Maelezo Bwn. Thobias Makoba alisema kikao kazi hicho kimekuwa na mafanikio makubwa kwani kimewapa fursa maafisa Habari wa Serikali kujifunza mbinu mpya na kuwaongezea ujuzi utakao saidia kuboresha utoaji wa taarifa kwa umma.

“Mhe Waziri nichukue fursa hii kukujulisha kwamba, kikao kazi hiki kimekuwa na manufaa makubwa sana kwa Maafisa habari wa Serikali kwani mada zilizowasilishwa zimewasaidiakujifunza mambo mengi ambayo tunaamini yataleta mabadiliko hasa mbinu walizozipata za namna ya utoaji wa taarifa stahuki kwa Wananchi”.

Pamoja nayao Makoba alisema kupitia kikao kazi hichio, Maafisa Habari hao waliweze kujadili changamoto mbalimbali zinazowakwamisha katika utekelezaji wa shughuli zao za kila siku, pamoja na kuweka mikakati ya pamoja ya kutafutia ufumbuzi changamoto hizo.

Kikao kazi hicho cha siku 2, kilianza Juni 21 khadi Juni 22. 2024, kilitanguliwa na Kongamano la Wadau wa Sekta ya Habari lililofunguliwa na Mhe. Dakta Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Juni 19.2024.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWEYE USAILI WAOMBAJI NAFASI ZA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI III NA DEREVA II September 21, 2024
  • TANGAZO LA HALMASHAURI KUKUSANYA USHURU WA USAFI May 07, 2024
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA PROGRAM YA BBT May 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI NA DEREVA July 12, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AFUNGUA TAWI LA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR MKOA WA MOROGORO

    July 17, 2024
  • GAIRO SEKONDARI YATEKELEZA AGIZO LA KULIMA BUSTANI ZA MBOGAMBOGA, MATUNDA

    July 15, 2024
  • MARUFUKU KUUZA, KUNUNUA MAZAO KWA KUPIMA KWENYE NDOO, MADEBE

    July 12, 2024
  • KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI

    July 11, 2024
  • Tazama zote

Video

WANAFUNZI DARASA LA SABA WAASWA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Zabuni za Manunuzi
  • Zabuni za Ujenzi
  • Huduma

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Tanzania
  • GAIRO ONLINE TV
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Mawasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Gairo-Mtaa wa Malimbika, Kata ya Gairo.

    Sanduku la Posta: 40, GAIRO

    Simu ya Mezani: +255 787730665

    Simu ya Kiganjani: +255 717222572

    Barua pepe: ded@gairodc.go.tz, info@gairodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo. Haki Zote Zimehifadhiwa